Radio
16:30 - 17:00
Matumaini bado yapo kwa timu za Afrika kusonga mbele katika kombe la dunia
VOA Express ni matangazo mapya yenye mwendo wa kasi yakiangalia habari mpya za mchana na maelezo ya maswala yanayohusu vijana na wanawake. Matangazo haya yanafuatilia habari zilizojitokeza nyakati za mchana na ripoti za kina za habari ambazo hazisikiki sana katika matangazo mengineyo.
19:30 - 20:00
Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amekutana na Waziri Mkuu wa Uingereza Rishi Sunak katika ziara yake ya kiserikali mjini London
Sunak alimkaribisha Ramaphosa ambapo viongozi hao wawili walibadilishana salamu za heri kabla ya kujiunga na baraza la pamoja la biashara kati ya Uingereza na Afrika Kusini kujadili biashara na uwekezaji. Afrika Kusini ni mshirika mkubwa wa biashara wa Uingereza barani Afrika.
21:00 - 21:29