Katika hatua mpya ya kutafuta amani mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki(EAC) na Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) wamefikia maamuzi yatakayosaidia kurejesha utulivu katika eneo hilo linalokumbwa namzozo wa muda mrefu.