Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio ametangaza kuwa balozi wa Afrika Kusini kwa Washington hatakiwi nchini wakati uhusiano wa nchi hizo mbili ukidorora.
Rais wa Marekani Donald Trump Jumatano kwenye Ikulu ya Marekani amekutana na Waziri Mkuu wa Ireland Michael Martin wakati wakifanya mazungumzo mapana kuanzia tofauti za kibiashara hadi mzozo wa Gaza, ingawa wote waliahidi kuimarisha ushirikiano kati ya nchi hizo mbili.
Basi hilo lilibeba zaidi ya watu 50 waliokuwa wanakwenda kazini wakati lilipoanguka katika barabara yenye shughuli nyingi.
Mivutano kati ya Rais Salva Kiir na Makamu wake wa Kwanza wa Rais Riek Machar ikizusha hofu ya kurejea vita vya wenyewe kwa wenyewe.
Kundi la Al Shabaab limedai kuhusika na shambulio hilo katika taarifa yake na lilisema limewaua zaidi ya watu 10.
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imesema leo Jumatatu haijapokea barua kutoka kwa Rais wa Marekani Donald Trump kuhusu mazungumzo ya makubaliano ya nyuklia.
Sumy iko katika mpaka kutoka mkoa wa Kursk nchini Russia ambako vikosi vya Ukraine vilianzisha mashambulizi mwezi Agosti.
Wakati huo huo Rais wa Taiwan Lai Ching-te amesema ni watu wa Taiwan pekee wanaoweza kuamua mustakabali wao.
Papa Francis alifuatilia ufunguzi wa mkutano huo kwa njia ya video siku ya Jumapili.
Tukio limetokea saa chache baada ya wanajeshi wa Korea Kusini na Marekani kuanza mazoezi yao ya pamoja ya kila mwaka.
Pandisha zaidi