Dzhumokhon Kurbonov, raia wa Tajikistan anatuhumiwa kwa kuwapatia washambuliaji njia za mawasiliano na ufadhili
April 19 mawaziri wao wa ulinzi walifanya mkutano kwa lengo la kuleta “mwanzo mpya” katika mahusiano ya nchi hizo mbili.
Wakati huo huo Chuo Kikuu cha Columbia kinaendelea na mazungumzo na wale walio katika kambi ya wanafunzi wanaounga mkono Wapalestina
Shambulizi hilo la anga lilifanywa na makombora ya masafa ya balistiki na yale yanayosafiri umbali mrefu
Raia wa Afrika Kusini wanapiga kura Mei 29 miongo mitatu baada ya uchaguzi wa kwanza wa kidemokrasia mwaka 1994 uliomaliza utawala wa wazungu
Mahakama ilitoa uamuzi kutoruhusiwa ombi kutoka kwa vyama vya mahakimu kuiona kuwa Mali ilikuwa na mapungufu ya kisheria
Mchapishaji wa zamani wa gazeti la udaku David Pecker amerejea kizimbani kwa siku ya nne kama shahidi katika kesi ya uhalifu ya Donald Trump huko New York, Marekani.
Wanafunzi katika vyuo mbalimbali wanaendelea na maandamano kama hayo ambayo pia yanakabiliwa na kuzuiwa na polisi.
Mahakama ya Juu ya Marekani siku ya Alhamisi ilionekana kushuku madai ya Rais wa zamani Donald Trump kwamba ana kinga kamili ya kutoshtakiwa kwa makosa ya jinai kwa vitendo alivyofanya akiwa madarakani
Bhangi ni suala nadra la makubaliano katika Amerika iliyogawanyika kisiasa, huku ukusanyaji maoni ukionyesha kwamba asilimia 88 ya Wamarekani wanaunga mkono walau kwa kiasi fulani kuhalalisha bhangi.
Serikali ya Marekani na baraza la Kitaifa la Kulinda Nchi huko Niger (CNSP), Balozi wa Marekani nchini Niger Kathleen Fitz Gibbon na Meja Jenerali Ken Ekman, Mkurugenzi wa Mikakati, Ushirikiano na Mipango wa Kamandi ya Marekani ya Afrika, watakutana na maafisa wa baraza hilo.
Rais Joe Biedn ametia saini Jumatano mswada ambao utaweza kupiga marufuku app maarufu ya TikTok kutumika kote nchini, hivyo kuongeza kitisho dhidi ya biashara za kampuni hiyo Marekani.
Pandisha zaidi