Radio
06:00 - 06:29
Spika wa Bunge la Kenya ashutumiwa kwa "kujitwika madaraka"
Wabunge wa upinzani nchini Kenya chini ya Muungano wa Azimio La Umoja One Kenya wametaja uamuzi wa Alhamisi wa Spika wa Bunge la Kitaifa Moses Wetangula kuukabidhi Muungano wa Kenya Kwanza wa Rais William kuwa Kiongozi wa Walio Wengi katika Bunge hilo kama utekwaji nyara wa bunge.
19:30 - 20:29
Mazingira duni ya kazi na tofauti ya malipo ya mishahara ni changamoto kuu za waalimu Afrika mashariki na kati
Waalimu wanasema tofauti ya mishahara kwa waalimu wa sayansi na biashara pamoja na mazingira duni ya kazi yanachangia jamii kudharau tasnia ya elimu ambayo ndio kiini cha mafanikio yanayomgusa kila mtu duniani