Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Juni 29, 2024 Local time: 20:05

Je mtu yeyote anaweza kuwa rais wa Marekani?⁣


Je mtu yeyote anaweza kuwa rais wa Marekani?⁣
please wait

No media source currently available

0:00 0:01:03 0:00

Hapana.⁣ Kazi iko wazi kwa wale wana sifa zilizotajwa katika Katiba ya Marekani.⁣

Mahitaji:⁣
Awe na Umri wa miaka 35⁣
Awe ameishi ndani ya Marekani kwa miaka 14.⁣
Awe raia mzaliwa wa Marekani.⁣
Wasisi wa taifa walikuwa na matumaini umri huenda ukaleta busara na ukomavu.⁣
Wakati Katiba ilipokuwa inapitishwa umri wa kuishi ulikuwa chini ya miaka 40⁣
Ukazi na uraia:⁣
Mahitaji haya yalikuwa na azma ya kukatisha ushawishi wa nje.⁣
Wataalamu wa kisheria wanaamini uraia wa kuzaliwa unahusu mtu aliyezaliwa nchini Marekani au aliyezaliwa na wazazi ambao ni Wamarekani.⁣
Lakini Mahakama ya Juu Marekani haijawahi kutoa maamuzi rasmi kuhusu ufafanuzi wa suala hili.⁣

#uchaguzi #marekani #upigajikura #mhamiaji #greencard #raia #ukaaziwakudumu #voa #voaswahili #sifa #kugombea #nafasiyaurais #sifa #wazazi #kuzaliwa

Forum

Makundi

XS
SM
MD
LG