Kenya: aftermath of Al Shabab attack
Hali baada ya mashambulio ya Al-Shabab Garissa Kenya

1
Wanajeshi wakishika zamu mbele ya chuo kikuu cha Garissa kilichofungwa baada ya shambulizi la Alhamisi

2
Moja kati ya walojeruhiwa wakiwasili katika hospitali ya Kenyatta mjini Nairobi

3
Mmoja kati ya majeruhi wakishushwa kutoka ndege baada ya kuwasili hopitali kuu ya Kenyatta mjini Nairobi.

4
Muathiriwa aliyejeruhiwa vibaya huko Garissa akiwasilishwa hospitali ya Kenyatta Nairobi