Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Septemba 08, 2024 Local time: 03:13
VOA Direct Packages

UN yasema asilimia 90 ya samaki wakubwa baharini wanapungua


UN yasema asilimia 90 ya samaki wakubwa baharini wanapungua
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:03 0:00

Takwimu za Shirika la Umoja wa Mataifa kuhusu mazingira zinaonyesha kuwa asilimia 90 ya samaki wakubwa baharini wanapungua huku asilimia 50 ya mazalio yao yakiharibiwa na uchafuzi wa mazingira.

- Rais Joe Biden afungua mkutano wa viongozi wa mabara ya Amerika wakati baadhi ya marais wa nchi za Amerika ya Kati na kusini wakisusia mkutano huo.

- Mfalme wa Ubelgiji arejesha turathi ya asilia ya utamaduni wa DRC.

Makundi

XS
SM
MD
LG