Kwa nini sera na mikakati ya ukusanyaji kodi Afrika Mashariki yakataliwa?
Kenya imeshuhudia maandamano kupinga mapendekezo ya serikali ya ukusanyaji kodi na kumlazimisha Rais William Ruro kuuondoa mswaada huo. Wakati Tanzania wafanyabiashara waligoma kwa kufunga maduka wakilalamikia ongezeko la kodi na kutaka baadhi ya kodi kuondolewa na kiwango cha faini kupunguzwa.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017
Forum