Matukio ya siku ya 7 tangu kuanza mapigano kati ya Israel na Palestina
Zaidi ya watu milioni moja wamelazimika kukimbia kutoka makazi yao kaskazini mwa ukanda wa Gaza mwishoni mwa wiki hii tangu Israel kuanza mashambulio dhidi ya kundi la Hamas, huku Umoja wa Mataifa ukionya hali ni mbaya kabisa katikia ukanda huo.

5
Watoto wakipalestina wakiangalia jengo la familia ya Zanon lililobomolewa kutokana na mashambulizi ya ndege mji wa Rafah kwenye ukanda wa Gaza. Oktoba 14, 2023.

6
Mama wa kipalestina akibusu sanda iliyofunikwa mwili wa mtoto mdogo aliyeuliwa wakati wa shambulizi la ndege la Israel Jumapili Oktoba 15, 2023.

7
Moto mkubwa na moshi ukitanda hewani baada ya kudondoshwa bomu la Israel mjini Rafah, Ukanda wa Gaza October 15, 2023.

8
Jamaa za Wamarekani walochukuliwa mateka na Hamas wakionesha picha zao mjini Tel Aviv.
Forum