Matukio ya siku ya 7 tangu kuanza mapigano kati ya Israel na Palestina
Zaidi ya watu milioni moja wamelazimika kukimbia kutoka makazi yao kaskazini mwa ukanda wa Gaza mwishoni mwa wiki hii tangu Israel kuanza mashambulio dhidi ya kundi la Hamas, huku Umoja wa Mataifa ukionya hali ni mbaya kabisa katikia ukanda huo.

9
Margentina aliyejikuta kati kati ya vita kati ya Israel na Hamas akipokelewa na familia yake aliporudi nyumbani kwenye uwanja wa ndege wa Buenos Aires.

10
Buldoza ikiondosha vifusi kutafuta ikiwa kuna watu walofukizwa huku watu wakitizama katika mjaa mjini Rafah kusini mwa Ukanda wa Gaza.

11
Waandamanaji wakipeperusha bendera ya Palestina na mabango yenye maandishi yanayoiunga mkono watu wa Palestina mjini Madrid, Oktoba 15, 2023.
Forum