Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatatu, Mei 20, 2024 Local time: 18:34

Muhimbili yafanya upasuaji wa kichwa


Muhimbili yafanya upasuaji wa kichwa
please wait

No media source currently available

0:00 0:07:29 0:00

Madaktari bingwa kutoka Hospitali ya Muhimbili katika Taasisi ya Mifupa (MOI) nchini Tanzania, wamefanikiwa kufanya upasuaji wa Kichwa cha mtoto ambaye ubongo wake ulikuwa nje ya fuvu. Upasuaji huo unaelezwa kuwa wa mafanikio makubwa na wa Kipekee. Mwandishi wetu George Njogopa anatuarifu zaidi.

Makundi

XS
SM
MD
LG