Afrika Kusini, Misri, Senegal na Rwanda – kwa kipindi cha miezi minne, ikiwa ni michuano ya kwanza ya BAL kufanyika Afrika Kusini na kwa mara ya kwanza ligi hiyo itachezwa katika nchi nne tofauti. Al Ahly ya Misri iliifunga AS Douanes ya Senegal 80-65 ili kutwaa ubingwa wa Ligi ya Mpira wa Kikapu 2023. Msimu huu unaanza Jumamosi, Machi 9. Timu za BAL: A.S. Douanes (SENEGAL) APR (RWANDA) Al Ahly (EGYPT) Al Ahly Ly (LIBYA) Bangui SC (CENTRAL AFRICAN REPUBLIC) Cape Town Tigers (SOUTH AFRICA) City Oilers (UGANDA) Dynamo BBC (BURUNDI) FUS de Rabat (MOROCCO) Petro de Luanda (ANGOLA) Rivers Hoopers (NIGERIA) U.S. Monastir (TUNISIA)
Ligi ya Mpira wa Kikapu ya Afrika (BAL) 2024: Sikiliza Michezo na Fuatilia
Zinazohusiana
Matukio
-
Machi 14, 2025
Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 27, 2025
Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 25, 2025
Tunamulika umuhimu wa utunzaji afya ya moyo
-
Februari 07, 2025
Ugonjwa wa kifafa na changamoto zake katika jamii.
Forum