Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Machi 18, 2025 Local time: 10:49

Ugonjwa wa maumivu ya mifupa ni sababu mojawapo inayopelekea ulemavu kwa binadamu.


Ugonjwa wa maumivu ya mifupa ni sababu mojawapo inayopelekea ulemavu kwa binadamu.
please wait

No media source currently available

0:00 0:15:00 0:00

Arthritis ni kundi la magonjwa yanayosababisha uvimbe, maumivu, na viungo vya mwili kukakamaa na kufanya iwe vigumu kwa mtu kutembea au kujishughulisha na kazi za aina yeyote. Ni moja ya sababu kuu za maumivu na ulemavu duniani kote.

Forum

XS
SM
MD
LG