Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 22, 2025 Local time: 17:59

Ugonjwa wa kifafa na changamoto zake katika jamii.


Ugonjwa wa kifafa na changamoto zake katika jamii.
please wait

No media source currently available

0:00 0:15:00 0:00

Shirika la Afya Duniani (WHO) linasema watu milioni 50 duniani wanaugua ugonjwa wa kifafa na takribani asilimia 80 kati yao wanaishi katika nchi zenye kipato cha chini na cha kati ambapo kuna upatikanaji mdogo wa dawa.

Forum

XS
SM
MD
LG