Rais Samia wa Tanzania na Rais Ruto wa Kenya wakubaliana kuimarisha sekta ya biashara
Rais wa Jamhuri ya Kenya William Samoei Ruto pamoja na ujumbe wake wafanya ziara ya kwanza ya kikazi nchini Tanzania. Rais Ruto amefanya mazungumzo na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan na ujumbe wake wamezungumza mambo kadhaa ikiwemo biashara. Mwandishi wetu anakuletea taarifa kamili...
Matukio
-
Machi 14, 2025
Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 28, 2025
Waislamu wajitayarish kwa Ramadhani
-
Februari 27, 2025
Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 18, 2025
Nini kilichosababisha Raila Odinga kushindwa katika uchaguzi wa AU?
-
Februari 11, 2025
Naibu Katibu Mkuu aeleza hatua za dharura zinazochukuliwa DRC