Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Machi 30, 2025 Local time: 02:35

Mkurugenzi wa Idara ya Kupambana na Ugaidi aeleza ukubwa wa tishio la jihadi


Mkurugenzi wa Idara ya Kupambana na Ugaidi aeleza ukubwa wa tishio la jihadi
please wait
  • Auto
  • 240p
  • 360p
  • 480p
  • 720p
  • 1080p

No media source currently available

0:00 2:55 0:00
  • Auto
  • 240p
  • 360p
  • 480p
  • 720p
  • 1080p

Mkurugenzi Mwandamizi wa Idara ya kupambana na ugaidi ya serikali ya Marekani, Sebastian Gorka anasema kuwa tishio la Jihadi duniani limeongezeka sana.

Tunapambana nalo kwa rasilimali chache, tumepungukiwa rasilimali kwa 30% kuliko ilivyokuwa katika utawala uliopita kukabiliana na ongezeko kubwa la tishio la Jihadi. Amesema hayo katika mkutano ulioandaliwa na Baraza la Sera za Kigeni la Marekani uliyofanyika Februari 12, 2025, Washington, DC. Endelea kusikiliza….

Forum

XS
SM
MD
LG