Katika taarifa yake Rais wa Marekani Joe Biden amesema amechukua hatua hiyo kama heshima kwa walioathiriwa na vitendo visivyokuwa na maana vya vurugu vilivyotokea Jumatatu huko Nashville.
Mshambuliaji mwenye silaha nzito Audrey Hale mwenye umri wa miaka 28 , mwanafunzi wa zamani wa shule ya Covenant , aliyetambuliwa kama mtu aliyebadili jinsia aliuawa wakati akipambana na maafisa wa polisi watano wakati wa shambulizi hilo lililotokea kwenye ghorofa ya pili katika shule ya Presbyterian ambayo inahusiana na kanisa , maafisa wamesema.
Marekani: Wanafunzi watatu na watu watatu wauawa katika shambulizi la bunduki shule ya Nashville
Matukio
-
Machi 14, 2025
Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 28, 2025
Waislamu wajitayarish kwa Ramadhani
-
Februari 27, 2025
Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 18, 2025
Nini kilichosababisha Raila Odinga kushindwa katika uchaguzi wa AU?
-
Februari 11, 2025
Naibu Katibu Mkuu aeleza hatua za dharura zinazochukuliwa DRC