Donald Trump amekuwa rais wa zamani wa kwanza kukabiliwa na mashtaka ya uhalifu.
Katika hatua ambayo haijawahi kutokea katika historia ya Marekani, Jopo la Mahakama huko New York limepiga kura kumshtaki Trump kwa shutuma za uhalifu unaohusiana na kumnyamazisha mcheza filamu za ngono wakati wa kampeni yake ya urais mwaka 2016.
Mashtaka yaliyotarajiwa zaidi yanakuja wakati Trump anatafuta kurejea tena White House baada ya kushindwa azma yake ya kuchaguliwa tena 2020, na kumfanya kuwa yote rais pekee, hivi sasa au zamani na mgombea urais pekee aliyefunguliwa mashtaka.
Matukio
-
Machi 14, 2025
Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 28, 2025
Waislamu wajitayarish kwa Ramadhani
-
Februari 27, 2025
Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 18, 2025
Nini kilichosababisha Raila Odinga kushindwa katika uchaguzi wa AU?
-
Februari 11, 2025
Naibu Katibu Mkuu aeleza hatua za dharura zinazochukuliwa DRC