Rais wa Kenya Ruto asisitiza umuhimu wa kuimarisha mawasiliano
Rais wa Jamhuri ya Kenya Dkt. William Samoei Ruto pamoja na ujumbe wake ulikuwa Ikulu Jijini Dar es Salaam na umefanya mazungumzo na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan na ujumbe wake kuimarisha uhusiano kati ya nchi hizo mbili. Baada ya mazungumzo hayo Rais Ruto alikuwa na haya yakusema...
Matukio
-
Machi 14, 2025
Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 27, 2025
Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 25, 2025
Tunamulika umuhimu wa utunzaji afya ya moyo
-
Februari 07, 2025
Ugonjwa wa kifafa na changamoto zake katika jamii.