Viongozi wa Afrika na Marekani wanaokutana mjini Washington, DC wamezungumzia utawala bora na ushirikiano katika mabadiliko ya hali ya hewa na pia wamejadili usalama wa chakula kukabili upungufu wa chakula katika bara hilo la Afrika. Marekani imeahidi kufanya kila linalowezekana kusaidia kuboresha uzalishaji wa mazao ya chakula katika nchi za Afrika. Ungana na mwandishi wetu Abdushakur Aboud akikuletea repoti kamili inayoeleza ahadi ya Rais wa Marekani kuhusu uhusiano kati ya pande hizo mbili...
Marekani yaahidi kuisaidia Afrika kuboresha uzalishaji wake wa chakula
Matukio
-
Machi 14, 2025
Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 28, 2025
Waislamu wajitayarish kwa Ramadhani
-
Februari 27, 2025
Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 18, 2025
Nini kilichosababisha Raila Odinga kushindwa katika uchaguzi wa AU?
-
Februari 11, 2025
Naibu Katibu Mkuu aeleza hatua za dharura zinazochukuliwa DRC