Kenya imepitisha sheria kwa nia ya kuhakikisha kila raia wake anapata huduma bora ya afya kwa gharama nafuu. Tanzania inajadili mapendekezo yenye lengo sawa na hilo. Nchi nyingine za Afrika Mashariki zinafanya nini kuhakikisha raia wake wanapata huduma bora ya afya kwa bei nafuu?
Matukio
-
Machi 14, 2025
Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 27, 2025
Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 25, 2025
Tunamulika umuhimu wa utunzaji afya ya moyo
-
Februari 07, 2025
Ugonjwa wa kifafa na changamoto zake katika jamii.