Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatatu, Machi 17, 2025 Local time: 10:57

Jarida la Wikiendi linaangazia huduma za afya kwa wote katika nchi za Afrika Mashariki


Jarida la Wikiendi linaangazia huduma za afya kwa wote katika nchi za Afrika Mashariki
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Wiki hii katika Jarida la wikendi tunaangazia huduma za afya kwa wote katika nchi za Afrika Mashariki.

Kenya imepitisha sheria kwa nia ya kuhakikisha kila raia wake anapata huduma bora ya afya kwa gharama nafuu. Tanzania inajadili mapendekezo yenye lengo sawa na hilo. Nchi nyingine za Afrika Mashariki zinafanya nini kuhakikisha raia wake wanapata huduma bora ya afya kwa bei nafuu?

XS
SM
MD
LG