Kenya imepitisha sheria kwa nia ya kuhakikisha kila raia wake anapata huduma bora ya afya kwa gharama nafuu. Tanzania inajadili mapendekezo yenye lengo sawa na hilo. Nchi nyingine za Afrika Mashariki zinafanya nini kuhakikisha raia wake wanapata huduma bora ya afya kwa bei nafuu?
Matukio
-
Septemba 27, 2024
Kanda za kaseti zarejea nchini Marekani
-
Septemba 22, 2024
Milipuko ya magonjwa hasa Kipindupindu inavyoathiri jamii nchini Sudan.
-
Septemba 16, 2024
Changamto za uraibu au dawa za kulevya miongoni mwa vijana katika jamii
-
Septemba 15, 2024
Mtangazaji na msanii wa Tanzania Mwijaku azungumzia juu ya muziki wake
-
Septemba 11, 2024
Angelina Jolie aigiza filam ya mwimbaji wa Opera Maria Callas