Sudan na Ethiopia wafikia makubaliano ya bwawa lenye utata
Kiongozi wa kijeshi wa Sudan asema nchi yake na Ethiopia zimekubaliana katika masuala yote kuhusu bwawa lenye utata la Grand Ethiopian Renaissance Dam. Endelea kusikia maafikiano yaliyofikiwa juu ya kadhia hiyo na nini serikali hizo mbili zimekubaliana. Endelea kusikiliza ripoti kamili...
Matukio
-
Machi 14, 2025
Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 28, 2025
Waislamu wajitayarish kwa Ramadhani
-
Februari 27, 2025
Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 18, 2025
Nini kilichosababisha Raila Odinga kushindwa katika uchaguzi wa AU?
-
Februari 11, 2025
Naibu Katibu Mkuu aeleza hatua za dharura zinazochukuliwa DRC