Watoto wa kirohingya wakabiliwa na matatizo ya msongo wa mawazo
Maelfu ya wakimbizi wakirohingya waliathirika vibaya pale wanajeshi wa Myanmar walipoanzisha operesheni ya kikatili ya kuwatokomeza hapo Agasti mwaka 2017, na kuwapelekea warohingya kukimbilia nchi jirani ya Bangladesh. Tukio hilo lilipelekea wakimbizi hao kukumbwa na madhara makubwa ya kiakili.
Matukio
-
Machi 14, 2025
Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 27, 2025
Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 25, 2025
Tunamulika umuhimu wa utunzaji afya ya moyo
-
Februari 07, 2025
Ugonjwa wa kifafa na changamoto zake katika jamii.