Afrika Kusini inashikilia urais wa kundi hili, kwa Rais Cyril Ramaphosa kwa mara ya kwanza Mkutano wa G20 kufanyika Afrika imekuwa ni fursa kupata mataifa tajiri kuangalia wasiwasi wa mataifa masikini duniani.
Akizungumza wakati wa hotuba ya ufunguzi Ramaphosa alisema kumekuwa na ukosefu wa maelewano kati ya mataifa makubwa ikiwa ni Pamoja na G20 kuhusu jinsi ya kushughulikia maswala ya kimataifa.
Nchi za G20 zinazowakilisha baadhi ya asilimia 85 ya pato la taifa na robo tatu ya biashara mara nyingi zinapata shida kuonana macho kwa macho lakini mifarakano tangu Russia ilipoivamia ukraine mwaka 2022 imesababisha kuwepo na mikanganyiko kuliko hapo awali.
Forum