Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Septemba 18, 2024 Local time: 01:20

Vipimo vya vinasaba kuwatambua watoto walioungua na moto vyafanyika Kenya


Vipimo vya vinasaba kuwatambua watoto walioungua na moto vyafanyika Kenya
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Vipimo vya vinasaba vinafanyika kuwatambua watoto walioungua moto katika shule ya msingi Kenya huku shule tano za upili zikiripoti matokeo mengine ya moto.

Sudan imekataa pendekezo la kupelekwa walinda amani wa Umoja wa Mataifa nchini humo.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG