"Nataka kuwafahamisha kwamba wakati afya na usalama wa wafanyakazi wetu ni kipaumbele chetu cha kwanza, pia tunafahamu fika kwamba wakati wa kipindi hiki kigumu nyote mnatuangalia na kutusukiliza sisi katika kupata habari za uhakika ambazo hazielemei upande mmoja, ili muweze kufanya maamuzi kuhusu maisha yenu," Amanda Bennet.
Matukio
-
Machi 14, 2025
Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 28, 2025
Waislamu wajitayarish kwa Ramadhani
-
Februari 27, 2025
Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 18, 2025
Nini kilichosababisha Raila Odinga kushindwa katika uchaguzi wa AU?
-
Februari 11, 2025
Naibu Katibu Mkuu aeleza hatua za dharura zinazochukuliwa DRC