Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 24, 2025 Local time: 04:36

Kuachiwa kwa aliyemuua Chris Hani kwaibua madai ya ukosefu wa usawa


Kuachiwa kwa aliyemuua Chris Hani kwaibua madai ya ukosefu wa usawa
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:34 0:00

Maoni mbalimbali yaibuka baada ya Janusz Walus aliyemuua mwananchi wa Afrika Kusini, ambaye alikuwa kiongozi wa vuguvugu la kupinga ubaguzi wa rangi nchini humo, Chris Hani.

Walus alikuwa ametumikia tayari takriban miaka 30 ya kifungo chake cha maisha na hivi leo ameachiliwa huru kwa masharti magumu. Wananchi wamejitokeza kupinga uamuzi huo wa mahakama na kumeibua madai ya kukosekana usawa. Endelea kusikiliza ripoti kamili...

XS
SM
MD
LG