Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Septemba 13, 2024 Local time: 06:25

Kagame atarajiwa kuendeleza utawala wake kwa muhula wa nne


Kagame atarajiwa kuendeleza utawala wake kwa muhula wa nne
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Rais wa Rwanda Paul Kagame anatarajiwa kuendeleza utawala wake kwa muhula wa nne kutokana na uchaguzi usiokuwa na ushindani mkubwa kufanyika Jumatatu.

Rais wa Kenya William Ruto amefanya mabadiliko makubwa katika idara ya usalama baada ya kuwafuta kazi mawaziri wote.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG