Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Julai 03, 2024 Local time: 21:10

Ruto aahidi kusimamia utawala wa sheria na kulinda raia wote


Ruto aahidi kusimamia utawala wa sheria na kulinda raia wote
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Rais wa Kenya William Ruto aahidi kusimamia utawala wa sheria na kulinda raia wote wa Kenya kufuatia madai ya waandamanaji kumtaka ajiuzulu.

Mahakama ya Juu ya Marekani kwa mara ya kwanza imeamua kuwa rais wa zamani wa Marekani Donald Trump ana kinga ya mashtaka ya hatua rasmi alizochukua akiwa madarakani.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG