Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Septemba 20, 2024 Local time: 01:37

Rais Xi apongeza 'maendeleo' yaliyopatikana katika mazungumzo na Waziri Blinken


Rais Xi apongeza 'maendeleo' yaliyopatikana katika mazungumzo na Waziri Blinken
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Rais wa China Xi Jinping amepongeza ‘maendeleo’ katika mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken mjini Beijing siku ya Jumatatu, mawasiliano ya mwisho katika ziara adimu iliyolenga kuhakikisha mivutano kati ya mataifa yenye nguvu haibadiliki na kuwa mizozo.

XS
SM
MD
LG