Sumy iko katika mpaka kutoka mkoa wa Kursk nchini Russia ambako vikosi vya Ukraine vilianzisha mashambulizi mwezi Agosti.
Wakati huo huo Rais wa Taiwan Lai Ching-te amesema ni watu wa Taiwan pekee wanaoweza kuamua mustakabali wao.
Papa Francis alifuatilia ufunguzi wa mkutano huo kwa njia ya video siku ya Jumapili.
Tukio limetokea saa chache baada ya wanajeshi wa Korea Kusini na Marekani kuanza mazoezi yao ya pamoja ya kila mwaka.
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis, ambaye afya yake imeendelea kuimarika wakati akipokea matibabu kutokana na homa ya mapafu, Jumapili aliwashukuru madaktari pamoja na wahudumu wa afya, ingawa hakuweza kuongoza maombi ya Angelus kwa mara ya nne mfululizo.
Majeshi ya Wanamaji ya Iran, Russia na China yatafanya mazoezi ya katika pwani ya Iran wiki hii katika jitihada za kuimarisha ushirikiano, vyombo vya habari vya Iran vimeripoti Jumapili.
Kiongozi wa waasi wa Kihouthi wa Yemen, Ijuma amesema kundi hilo litarudia operesheni zake za kijeshi dhidi ya Israel, endapo Israel haitaondoa kizuizi cha misaada cha Gaza ndani ya siku nne.
Kimbunga Alfred kilidhoofika kitropiki Jumamosi kilipokaribia kuwa mvua na upepo uliovuma pwani ya mashariki mwa Australia ambapo mamia ya maelfu ya nyumba hazikuwa na umeme.
Waumini wa kanisa katoliki wamekuwa na hisia mchanganyiko baada ya kusikia sauti ya Papa Francis leo Ijumaa, kwa mara ya kwanza tangu alipolazwa hospitali, mwezi Februari.
Serikali ya Thailand imesema Alhamisi kwamba inafanya majadiliano na maafisa wa serikali mbali mbali au maafisa wa balozi za nchi ambazo raia wao wamekwama kwenye mpaka kati ya Thailand na Myanmar.
Waziri wa Ulinzi wa Ufaransa Sebastien Lecornu alisema Alhamisi kwamba Ufaransa inashirikiana taarifa za kijasusi na Ukraine, hatua iliyofuatia baada ya Marekani kusema inapunguza ushirikiano wa kijasusi na Ukraine.
Hamas iliyotajwa kuwa kundi la kigaidi na Marekani ilisema Alhamisi kwamba vitisho kutoka kwa rais wa Marekani Donald Trump vinahimiza Israel iondoke kwenye makubaliano ya usitishaji mapigano huko Gaza.
Pandisha zaidi