Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatatu, Septemba 09, 2024 Local time: 10:17

White House imekanusha kuwa washirika wa NATO wana wasiwasi kuhusu uongozi wa Biden


White House imekanusha kuwa washirika wa NATO wana wasiwasi kuhusu uongozi wa Biden
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Ikulu ya White House Jumatatu ilikanusha kwamba washirika wa NATO wana wasiwasi kuhusu uongozi wa Biden.

Shinikizo la vijana nchini Kenya hatimaye limezaa matunda baada ya Rais Ruto kusaini mswaada wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC kuwa sheria.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG