Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Oktoba 17, 2024 Local time: 01:32

Raia wa Msumbiji washiriki katika zoezi la kupiga kura kumchagua rais


Raia wa Msumbiji washiriki katika zoezi la kupiga kura kumchagua rais
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Raia wa Msumbiji washiriki katika zoezi la kupiga kura za urais leo huku chama tawala kikiwa na nafasi ya juu ya kupata ushindi.

Seneti ya Kenya inatarajiwa kufanya mjadala wiki ijayo ili kuchukua maamuzi ya bunge ya kutaka kumuondoa madarakani naibu rais.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG