Eid al-Adha itakayoadhimishwa mwezi Juni, inakumbusha kitendo cha Mtume Ibrahim, ambaye alikuwa tayari kumtoa kafara mtoto wake ili kutekeleza amri ya Mungu.
Waislamu wanaadhimisha siku kuu hiyo kwa kuchinja kondoo au mbuzi. Nyama hiyo inagawiwa kati ya familia na kutolewa kwa watu maskini.
“Ng’ombe na kondoo wa Morocco wamepungua kwa asilimia 38 mwaka 2025 tangu sensa ya mwisho miaka tisa iliyopita kutokana na misimu mfululizo ya ukame, kulingana na takwimu rasmi.
Forum