Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Oktoba 18, 2024 Local time: 06:42

DRC: Takriban ni miaka miwili tangu kulipuka volcano, yakadiriwa watu nusu milioni hawana makazi


DRC: Takriban ni miaka miwili tangu kulipuka volcano, yakadiriwa watu nusu milioni hawana makazi
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Ni takriban miaka miwili tangu kulipuka volcano huko mashariki ya DRC ambako karibu watu nusu milioni wamelazimika kuhama makazi yao kwa nguvu na wengine kukoseshwa makazi. Mapigano pia yamesababisha kukimbia makazi yao.

White House ya Marekani ilikuwa mwenyeji wa tuzo za wanawake wenye uthubutu Jumatano kwa wote walioonyesha ujasiri kwa kukabiliana na changamoto mbalimbali.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG