Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Septemba 13, 2024 Local time: 09:03

Obama kuhutubia wajumbe wa mkutano mkuu wa DNC Chicago


Obama kuhutubia wajumbe wa mkutano mkuu wa DNC Chicago
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Mkutano mkuu wa Demokratik unaingia siku ya pili ambapo Rais wa zamani Barack Obama atahutubia wajumbe kuwashawishi kumpigia kura Kamala Harris.

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken amesema kwamba Israel ipo tayari kusitisha vita.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari

XS
SM
MD
LG