Radio
19:30 - 19:59
Israel imesema imepata miili ya mateka sita huko Gaza akiwemo raia mmoja wa Marekani mwenye asili ya Israel.
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.