Utawala wa kijeshi uliokamata madaraka Niger kumfungulia mashtaka ya uhaini Rais Bazoum

Your browser doesn’t support HTML5

Utawala wa kijeshi uliokamata madaraka Niger kwa njia ya mapinduzi mwezi uliopita umesema utamfungulia mashtaka rais aliyeondolewa madarakani Mohamed Bazoum kwa uhaini.

Matangazo ya Duniani Leo kutoka idhaa ya kiswahili ya Sauti Amerika, Washington, D.C.
#habari