Shambulizi la kigaidi lajeruhi polisi 5 Kenya

Moja ya gari lililokuwa katika msafara huo.

Bomb kabla ya kuteguliwa

Shimo ambalo bomu lilikuwa limefukiwa

Afisa wa jeshi akiwa katika harakati za kulitegua bomu.

Bomu likifukuliwa

Bomu likiwa tayari limeteguliwa

Maafisa wa jeshi wakitegua bomu hilo.

Polisi wa Utawala nchini Kenya wamegundua bomu (IED) lililokuwa limezikwa ardhini katika kaunti ya Garissa.