Jeshi la Sudan na vikosi vya RSF vyadaiwa kubaka wanawake tangu vita izuke nchini huko
Your browser doesn’t support HTML5
Ripoti ya kutetea haki za binaadamu (Human Rights Watch) imesema pande zinazohusika katika mzozo wa Sudan, jeshi la Sudan na vikosi vya RSF vimehusika na unyanyasaji wa kingono na kijinsia katika mji kuu wa Khartoum.