Mahakama ya juu Kenya inasikiliza kesi ya kupinga kuondolewa madarakani kwa Rigathi Gachagua kama Naibu Rais wa nchi hiyo.

Your browser doesn’t support HTML5

Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.