Rais wa Kenya William Ruto amemteua Kithure Kindiki kama Naibu Rais wa Kenya baada ya Rigathi Gachagua kuondolewa madarakani na bunge.

Your browser doesn’t support HTML5

Kwa Undani ni matangazo ya dakika 25 yanayochambua habari kwa undani zaidi na kumpa msikilizaji maelezo ya kina kuliko ilivyo kawaida kuhusu tukio au swala lililojitokeza katika habari.