Naibu Rais wa Kenya Rigathi Gachagua anayekabiliwa na mashtaka 11 amefika mbele ya bunge na kukanusha madai, akidai yamechochewa kisiasa

Your browser doesn’t support HTML5

Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.