Kamala Harris amtangaza gavana wa Minnesota, Tim Walz, kuwa mgombea mwenza wake kwenye uchaguzi wa Marekani wa Novemba

Your browser doesn’t support HTML5

Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.