Rais wa zamani Marekani Donald Trump ameshinda uteuzi wa chama huko New Hampshire wakati Nikki Haley akiapa kuendelea na kinyang'anyiro

Your browser doesn’t support HTML5

Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.