Mapigano makali yazuka tena kati ya jeshi la DRC na waasi wa M23

Your browser doesn’t support HTML5

Mapigano makali yametokea mashariki mwa Jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo kati ya wanajeshi wa serikali na waasi wa kundi la M23, saa chache baada ya rais wa Congo Felix Tshisekedi kukubaliana na mwenzake wa Rwanda Paul Kagame kupunguza uhasama kati ya nchi zao mbili.