Jukwaa la waandishi laangazia matayarisho ya mazishi ya Rais Mwai Kibaki

Your browser doesn’t support HTML5

Waandishi kutoka maeneo mbalimbali wanamulika habari kuu za wiki na jinsi zilivyoripotiwa, zikiwa ni pamoja na kifo cha rais wa zamani wa Kenya, Mwai Kibaki, na mkutano kati ya waasi wa DRC na serikali ukiongozwa na Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta.