Rais wa Kenyatta awataka waaasi wa DRC kuacha mapigano.

Your browser doesn’t support HTML5

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, amewasihi waasi wa DRC wakiwemo M23 kuweka silaha chini kusimaisha mapigano. Rais wa Tanzania amerejea nyumbani baada ya ziara ya Marekani, na kuzindua filamu ya Royal Tour jijini Arusha. Wachina wa Afrika Kusini waendelea kuishi nchini humo na historia yao ndefu.