Uchaguzi wa awali wa wagombea katika vyama vya Kenya wafanyika

Your browser doesn’t support HTML5

Vijana na wanawake waelezwa kupata uteuzi katika vyama vya siasa kuelekea uchaguzi mkuu wa baadaye mwaka huu. Ubunifu wa mitindo unaelezwa uaweza kupunguza tatizo la ajira kwa vijana licha ya kuwa na changamoto. Sababu za wanasichana kutupa ama kutelekeza watoto baada ya kujifungua. Tatizo nini?